Wednesday 17 December 2014

#‎TANZIA‬ AISHA MADINDA AFARIKI DUNIA!


 
Aliyekuwa mnenguaji wa bendi tofauti hapa nchini Tanzania Aisha Madinda afariki dunia na mwili wake wakutwa umehifadhiwa katika hospitali ya Mwananyamala.

Monday 15 December 2014

MISS TZ AFARIKI GHAFLA, MAMISS WENZAKE WAANGUA VILIO

  Marafiki wa aliyekuwa mshiriki wa Miss Tanzania 2013 akitokea Miss Ilala, Martha Gewe wakiwa na huzuni.
Stori: Imelda Mtema KWELI kifo hakina huruma jamani! Mshiriki wa Miss Tanzania 2013 akitokea Miss Ilala, Martha Gewe, mkazi wa Tabata Segerea, Dar    kuugua ghafla, Ijumaa Wikienda linakupa zaidi.
Martha amekutwa na mauti katika Hospitali ya Mkoa wa Ilala, Amana jijini Dar es Salaam, Ijumaa iliyopita ambako alikimbizwa baada ya kuugua na madaktari walibaini kwamba, malaria ilipanda kichwani.
AFYA YAKE SIKU ZA NYUMA